<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>
 <rss version="0.91">
 <channel>
 <title>Daily Manna from the 'Net [Swahili]</title>
 <link>http://www.ibsstl.org/dm/index.php</link>
 <description>Daily Scripture reading by IBS-STL Global</description>
 <language>en-us</language>
 <copyright>Copyright 2005 (c), IBS-STL Global</copyright>
 <image>
 <title>DM</title>
 <url>http://www.ibsstl.org/dm/syndicate/rss/dmlogo.gif</url>
 <link>http://www.ibsstl.org/index.php</link>
 <width>75</width>
 <height>52</height>
 </image>

<item>
 <title>Daily Manna from the 'Net for Saturday, July 4, 2009 [Ufunua wa Yohana 22:12-17]</title>
 <link>http://www.ibsstl.org/dm/index.php</link>
 <description> ''Tazama, Ninakuja upesi! Nakuja na tuzo yangu, nimpe tuzo kila mtu kulingana na matendo yake. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa wisho, Mwanzo na Mwisho.'' Wamebari kiwa wanaoosha mavazi yao ili wapate haki ya kushiriki mti wa uzima na wapate kuingia katika ule mji kupitia kwenye milango yake. Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuutenda. Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ni Shina na Mzao wa ukoo wa Daudi. Mimi ni Nyota ya asubuhi ing'aayo.'' Roho na bibi harusi wanasema, ''Njoo!'' Na kila mtu asi kiaye na aseme, ''Njoo!'' Na mtu ye yote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na apokee zawadi ya maji ya uzima bure. . Ufunua wa Yohana 22:12-17</description>
 <pubDate>Sat, 04 Jul 2009 14:21:48 GMT</pubDate>
 </item>
 </channel>
 </rss>
	